Muingereza mwenye Ebola arejeshwa kwao

Maafisa wa serikali ya Uingereza wanasema
Atasafirishwa kwa ndege ya jeshi la wanahewa la Uingereza.
Atatibiwa kwenye kituo kilichotengwa ndani ya hospitali moja mjini London.
Afisa wa wizara ya afya ya Sierra Leone alisema mwanamme huyo amekuwa akifanya kazi katika kituo cha kuwatibu wagonjwa wa Ebola mashariki mwa nchi.
Muingereza mwenye Ebola arejeshwa kwao
Reviewed by Ino
on
12:59:00 PM
Rating:
No comments:
Post a Comment