Man united yamnunua Di Maria

Man united yamnunua Di Maria
Manchester United imekubali
kumchukua Winga wa Real Madrid
Anji di maria kwa pauni milioni 59.7
nakuvunja rekodi ya kiwango cha fedha kwa wachezaji wanaonunuliwa
kuchezea timu za England.Di Maria mwenye umri wa miaka 26, yuko jijini Manchester na anatarajiwa kufanya vipimo vyake vya kiafya asubuhi hii.
Mchezaji huyo pengine ataungana na kikosi cha Man United katika mchezo wa ligi kuu ya England utakaofanyika siku ya jumamosi dhidi ya Burnley

Mchezaji huyo ndiye aliyegharimu kitita kikubwa zaidi katika historia ya ligi kuu ya Uingereza
Manchester United imeshawanunua wachezaji kama beki wa kushoto Luke Sho,Kiungo wa kati Ander Herrera na Muajentina Marcos Roho kwa jumla ya Pauni milioni 72 kipindi hiki cha majira ya joto.
Man united yamnunua Di Maria
Reviewed by Ino
on
10:15:00 PM
Rating:
No comments:
Post a Comment