Barcelona yatwaa kombe la Mfalme
Klabu ya soka ya Barcelona imetwaa kombe la Mfalme Hispania, maarufu kama Copa del Rey katika Fainali ya 114.
Hii ni Fainali ya 37 ya kombe la kwa Barcelona huku Barca wakishinda mara ya 28 sasa.
Ikumbukwe Mwaka Jana, Barca walitwaa Kombe hili kwa kuifunga Athletic Bilbao 3-1.
Barcelona yatwaa kombe la Mfalme
Reviewed by Ino
on
10:06:00 PM
Rating:
No comments:
Post a Comment