Shujaa Muislamu katika sakata ya Paris
Aliwaficha wateja kwenye chumba cha barafu.
Lassana Bathily, kijana wa asili ya Mali, aliiambia televisheni ya Ufaransa kuwa aliwaongoza wateja waliokuwa wamebabaika, hadi chumba cha chini kwa chini.
Alizima mtambo wa barafu na kuwaomba wakae kimya na alirudi juu dukani.
Baada ya duka hilo kukombolewa na askari wa usalama, Lassana Bathily alisema wateja walimshukuru kwa kunusuru maisha yao.
Shujaa Muislamu katika sakata ya Paris
Reviewed by Ino
on
8:40:00 AM
Rating:
No comments:
Post a Comment