Johannesburg ina panya hatari

Panya wala watoto
Mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini ni mmoja wa miji inayokua kwa kasi barani Afrika, lakini
mji huo unakabiliwa na tatizo la kuvamiwa na panya walionona ambao huwatafuna watoto wadogo majumbani na wengine kufariki dunia. Maafisa wa halmashauri ya jiji la Johannesburg sasa wamezidisha juhudi ya kupambana na tatizo hilo ambalo limekuwepo kwa muda mrefu.
Johannesburg ina panya hatari Johannesburg ina panya hatari Reviewed by Ino on 12:35:00 AM Rating: 5

No comments:

ino mo. Powered by Blogger.