Boko haram kuwaachilia wanafunzi
Serikali
ya Nigeria inasema kuwa imefikia makubaliano na kundi la wapiganaji wa
Boko Haram khusu wasichana wlaiotekwa nyara wa Chibok.
Mkuu wa
jeshi la Nigeria Alex Badeh,aliyefichua makubaliano hayo mwishoni mwa
mkutano wa siku tatu kati ya nchi hiyo na Cameroon anasema kuwa
wanajeshi wa Nigeria watatimiza matakwa ya makubaliano hayo.
Boko haram kuwaachilia wanafunzi
Reviewed by Ino
on
8:18:00 AM
Rating:
No comments:
Post a Comment