Zahanati ya ebola Monrovia yaporwa

Watu wajikinga na ebola Liberia
Taarifa kutoka Liberia zinasema kuwa kituo kilichotengwa na kuwekewa karantini kwa sababu ya
ebola, kimeshambuliwa na zana kuibiwa mjini Monrovia.
Baadhi ya ripoti zinasema wagonjwa kadha wameondoka kituoni.
Tukio hilo limejiri katika mtaa wa shughuli nyingi uitwao West Point.
Watu zaidi ya 400 wamekufa kwa sababu ya ebola nchini Liberia kati ya zaidi ya 1,000 katika kanda ya Afrika Magharibi
Zahanati ya ebola Monrovia yaporwa Zahanati ya ebola Monrovia yaporwa Reviewed by Ino on 10:00:00 AM Rating: 5

No comments:

ino mo. Powered by Blogger.